Afisa
Rasilimali watu kutoka Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Sarah Zayumba,
(aliyesimama), akisisitiza jambo wakati akifungua warsha inayolenga kuboresha
mahusiano mema sanjari utendaji unaozingatia misingi ya sheria mahali pa kazi.
Warsha hiyo inayojumuisha wajumbe wa Tuico kupitia TBL nchini imefanyika mkoani Morogoro jana.
Afisa
Rasilimali watu kutoka Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Sarah Zayumba, wa pili
kushoto, akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Tuico Taifa kabla ya kufungua
rasmi warsha ya siku mbili ya wajumbe wa Tuico kupitia TBL nchini iliyofanyika
mkoani Morogoro jana. Warsha hiyo pamoja
na mambo mengine, imelenga kuboresha mahusiano mema sanjari na utendaji
unaozingatia misingi ya sheria mahali pa kazi.
Wajumbe
wa Tuico kupitia Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), na baadhi ya viongozi wa TUICO
Makao Makuu, wakiwa katika picha ya pamoja mkoani Morogoro jana, muda mfupi
baada ya ufunguzi wa warsha iliyojadili pamoja na mambo mengine, maboresho,
mahusiano mema sanjari na utendaji
unaozingatia misingi ya sheria mahali pa kazi.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...