Afisa Rasilimali watu kutoka Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Sarah Zayumba, (aliyesimama), akisisitiza jambo wakati akifungua warsha inayolenga kuboresha mahusiano mema sanjari utendaji unaozingatia misingi ya sheria mahali pa kazi. Warsha hiyo inayojumuisha wajumbe wa Tuico kupitia TBL nchini imefanyika  mkoani Morogoro jana.
 Afisa Rasilimali watu kutoka Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Sarah Zayumba, wa pili kushoto, akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Tuico Taifa kabla ya kufungua rasmi warsha ya siku mbili ya wajumbe wa Tuico kupitia TBL nchini iliyofanyika mkoani Morogoro jana. Warsha hiyo  pamoja na mambo mengine, imelenga kuboresha mahusiano mema sanjari na utendaji unaozingatia misingi ya sheria mahali pa kazi.
 
Wajumbe wa Tuico kupitia Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), na baadhi ya viongozi wa TUICO Makao Makuu, wakiwa katika picha ya pamoja mkoani Morogoro jana, muda mfupi baada ya ufunguzi wa warsha iliyojadili pamoja na mambo mengine, maboresho, mahusiano mema sanjari  na utendaji unaozingatia misingi ya sheria mahali pa kazi. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...