Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji Dkt. Mary Nagu (MB) Kulia akiwa na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Charles Palangyo wakati alipotembelea banda la Ofisi ya Waziri Mkuu leo katika Maonesho ya Wakulima NaneNane yanayoendelea Mkoani Dodoma.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji Dkt. Mary Nagu (MB) akisoma Mwongozo wa Ufuatiliaji Tathmini na Utoaji Taarifa za masuala ya Uwezeshaji Kiuchumi uliondaliwa na Idara ya Maendeleo ya Sekta Binafsi wakati alipotembelea banda la Ofisi ya Waziri Mkuu leo, kulia ni Bw. Girson L. Ntimba Mchumi Mwandamizi Idara ya Maendeleo ya Sekta Binafsi, Uwekezaji na Uwezeshaji.
Picha zote na Waziri Mkuu


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...