Waziri wa Kazi na Ajira, Mhe. Gaudencia Kabaka (Kulia) akijiandikisha kuwa mwanachama wa PPF kupitia Mfumo wa Hiari (Mfumo wa Uwekezaji Amana). Pembeni yake ni Afisa Mwandamizi wa PPF Kanda ya Ilala, Mordgard Lumbanga akifuatiwa na Meneja Uhusiano wa Mfuko huo Lulu Mengele na Afisa Uendeshaji Kanda ya Ilala, Iddi Kibire.
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka (Kulia) akipeana mkono na Meneja Uhusiano wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Lulu Mengele mara baada ya kupokea kadi ya uanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PPF. Wakati huo huo Msaidizi wa Waziri wa Kazi na Ajira, Saimon Mwanajali naye alijiunga na Mfuko huo kama anavyoonekana katika picha.
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka (Kulia), akionyesha kwa furaha kadi ya uanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, mara baada ya kujiunga rasmi na mfuko huo. Mwisho kushoto ni Meneja Uhusiano wa Mfuko huo, Lulu Mengele pamoja na Afisa Uendeshaji Kanda ya Ilala, Iddi Kibire na Afisa Mwanadamizi wa Kanda hiyo ya PPF, Mordagard Lumbanga wakifurahia tukio hilo. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...