Home
Unlabelled
yale yaleeee....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
madereva wengi wa bongo si wastaarabu ni NG'OMBE.....na ndio wanaosababisha foleni wala sio idadi kubwa ya magari
ReplyDeleteNinapenda kuungana na mtoa maoni hapo juu! Mji wa Dar ungekuwa unafoleni sio za kuudhi na kutisha iwapo (1) matrafiki wangekuwa awanajigawa kwenye njia panda zote za mjini zinazoingiza barabara kubwa (2) kukumata magari yote yanayotanua! Huwezi amini watu wanatanua barabara ya Ocean Road kipande kabla ya kufika Agakhan hosp. askari wanaangalia! Jamani chanzo kingine cha mapato ni leseni mpya za udereva! TRA na jeshi la polisi tafuteni namna ya kusoma zile leseni kama kadi ATM ili mtu akifanya makosa tu! Achajiwe moja kwa moja! Awe ana hela hana atajijua wakati wa kulipia kodi ya barabara!
ReplyDeleteNamalizia kwa kusema kuwa kila mtu akifuata sheria foleni itakuwepo na itasogea! Magari ya Serikali yanaongoza kwa kuvunja sheria kila wakati! Kama kweli wanaharaka kiasi hicho hao maofisa! Nchi ingekuwa mbali! Inaudhi sana!
Watu wazima Mungu kawapa akili lakini lazima msimamiwe kama wanyama... Hata mbwa akifunzwa huelewa. Ndio maana ananusa na kukamata madawa ya kulevya...
ReplyDelete