Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa katika picha ya pamoja na Mshauri wa Rais wa Bunge la Ulaya Bwana Alexandre Stutzman (kulia) na Bwana Marc Jutten (kushoto) Mshauri wa Sera za Nje wa Rais wa Bunge la Ulaya. Balozi Kamala amekutana na Bwana Stutzman leo Ofisini kwake Brussels kushauriana naye kuhusu masuala mbalimbali ya majukumu ya Bunge la Ulaya.
Home
Unlabelled
Balozi Kamala akutana na Washauri wa Rais wa Bunge la Ulaya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...