Balozi wa Tanzania Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa katika picha ya pamoja na Mshauri wa Rais wa Bunge la Ulaya Bwana Alexandre Stutzman (kulia) na Bwana Marc Jutten (kushoto) Mshauri wa Sera za Nje wa Rais wa Bunge la Ulaya. Balozi Kamala amekutana na Bwana Stutzman leo Ofisini kwake Brussels kushauriana naye kuhusu masuala mbalimbali ya majukumu ya Bunge la Ulaya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...