Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa katika picha ya pamoja na wamiliki wa Kampuni ya Afix Group ya Ubelgiji baada ya kutembelea Kampuni hiyo. Kampuni hiyo inashughulika na uzalishaji wa vitendea kazi vya shughuli za ujenzi. Balozi Kamala anaendelea na ziara ya kikazi ya kuhamasisha makampuni ya Benelux kuwekeza Tanzania kwa kushirikiana na Makampuni ya Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...