Mafunzo ya ufundi viatu (Footwear Pattern Engineering) kwa kutumia kompyuta (e-learning) yanayowanufaisha wajasiriamali wengi

Wajasiriamali toka kila sehemu ya Tanzania wakipata mafunzo ya namna ya kusindika na kuchakata ngozi kwa njia za asili na kisasa.

Wajasiriamali katika mafunzo ya vitendo ya kutengeneza viatu vya ngozi. Mafunzo haya yameleta ajira binafsi kwa vijana wengi na kuwainulia hali ya uchumi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Pole na majukum bwana michuzi aisee mimi ni mmoja sana kati ya wengi ninatafuta sana namna ya kusindika ngozi na kutengeneza viatu bwana michuzi naomba mawasiliano ya hawa DIT utakuwa umenisaidia sana nahitaji sana kuonana nao ili nipate utaalam wa kusindika ngozi na kutengeneza viatu kwa majibu yako nitafanikiwa no 0787374058 /asante by Mollel kutoka arusha

    ReplyDelete
  2. Mimi nahitaji uelewa nama yakuchakata ngozi mpapa kufulia kuuza

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...