Rais wa Tanzania Dr.Jakaya Kikwete alipokutana na mpiganaji SundayShomari wa VOA siku ya Jumatano kwenye ofisi za ubalozi washington Dc. 

Rais Kikwete akiwa na Dr.Mwamoyo Hamza mkuu wa idhaa ya Kiswahili ya VOA
Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa wa Tanzania Mh. Bernard Membe akitoa hotuba ya kuwapongeza mabalozi wa hiyari wa Tanzania. Kwa picha zaidi ungana na Sundayshomari.com
ReplyDeleteNice president hao hao ndio wanahitaji kusikilizwa wengine woote waacha wapige kelele kwani wale waliopo mvomero wanakupa nini?? au wanafaida gani kwa domestic profic after 2 years unasepa zako hakuna shida na mtu,,, piga kazi sana raisi
YAANI KWELI KUKU NI KITU KIZURI EMBU ANGALIA HIYO PICHA YA MWANZO YA MH. JK, NA SUNDAY SHOMARI ,KWA KWELI JK NI MKUBWA KWA UMRI HATA ZAIDI YA MIAKA 10 NA USHEE LAKINI SUNDAY SHOMARY ANAONEKANA KAMA YEYE NDIO MZEE KULIKONI!
ReplyDelete