Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasili uwanja wa mkutano katika kata ya Salawe.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia umati wa wakati wa kata ya Salawe na maeneoya jirani waliofika kusikiliza sera na misimamo imara ya Chama Cha Mapinduzi.
 Mbunge wa Viti Maalum  Azah Hilal Hamad akihutubia wananchi  kwenye mkutano wa hadhara na kuelezea namna gani serikali sikivu ya CCM inavyojali wananchi wake.
 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kwenye ujenzi wa Birika la kunyweshea mifugo katika kata ya Didia.
 Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa kwenye picha ya pamoja na mafundi ujenzi wanaoshiriki kujenga birika la kunyweshea maji mifugo katika kata ya Didia.
 Katibu Mkuu wa CCM Taifa akitoa ushirikiano wa kutosha kutoka kwa mwananchi aliyeomba kupiga nae picha nje ya soko jipya katika kata ya Didia.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi baada ya kutembelea soko la jipya katika kata ya Didia na kuwapongeza sana wakazi wa kata hiyo kwa kushirikiana na uongozi wake kwa kufanikisha ujenzi wa soko hilo.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa amebeba nyoka aina ya chatu nje ya jengo la soko jipya katika kata ya Didia, Nyoka huyo huchezwa kwenye ngoma inayoitwa Wagoyangi.
 Katibu Mkuu akipata maelezo juu ya maendeleo ya ujenzi wa hospitali ktika kata ya Iselamagazi.PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...