Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Watoto wa Ughaibuni wengine wanafanya mambo kwa heshima na adabu. Lakini kuna wengine ni watukutu na wanaishia jela, madawa na kuwa machangundoa. Mambo ya dunia kote ni sawa. Hapa UK kuna wazungu wanatokea nchi za kimasikini kama Eastern Europe wanatabia tafauti na wazungu wanaotokea Western Europe. Watoto wa watu wenye pesa Tanzania hawapigwi na wana adabu vizuri.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...