Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Presidential Bureau Oamar Issa (katikati) na Mkuu wa Chuo cha Uongozi, Profesa Joseph Semboja katika mkutano aliouitisha wa Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wa Mikoa wa kujadili utekelezaji wa mpango wa matokeo makubwa sasa, kwenye hoteli ya Dodoma Septemba 7, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Home
Unlabelled
kIKAO CHA KAZI CHA WAZIRI MKUU NA WAKUU WA MIKOA CHAFANYIKA LEO MKOANI DODOMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...