Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Ndgugu Stephen Wassira mara baada ya kukagua mradi wa kusambaza maji kwa wilaya ya Bunda
Katibu Mkuu wa CCM akipokelewa na wananchi wa kata ya Kibara katika jimbo la Mwibara alipotembelea kuona jinsi ilani ya uchaguzi inatekelezwa.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikata utepe kuashiria kufungua kwa mradi wa kujenga chuo cha ufundi fundi Stadi katika jimbo la Mwibara,kulia ni mbunge ndugu Kange Ligora na kushoto ni mwenyekiti wa CCM mkoa ndugu Christopher Sanya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...