Hii ni sehemu ya ripoti ya Jamii Production kwenye kipindi cha DAKIKA 90 ZA DUNIA kinachorushwa kila Jumamosi na kituo cha Radio cha Capital FM cha Dar Es Salaam Tanzania.
Na watangazaji wetu Bahati Alex kutoka Capital Radio Jijini Dar es Salaam akiwa na Mubelwa Bandio wa Jamii Production Washington DC
Hii ilikuwa ripoti ya Septemba 14, 2013
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...