MAMA AGNES T. ANDREA WENGAA: 
20/09/2012 - 20/09/2013
Mama,  tarehe 20/09/2013 umetimiza Mwaka Mmoja tangu Mwenyezi Mungu alipokutwaa toka hapa Duniani.
Kila siku ipitayo tunaona kama ni jana tuu. Unakumbukwa sana na mume wako,watoto wako,wakwe zako,wajukuu,wadogo zako,ndugu,jamaa na marafiki wote.
Sote Tunakuombea sana upumzike kwa Amani-Milele.
WARUMI 14: "Kwa maana kama tukiishi,twaishi kwa Bwana,au kama tukifa twafa kwa Bwana. Basi,kama tukiishi au kama tukifa tu mali ya Bwana".
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA, JINA LA BWANA LIHIMIDIWE
Tunakupenda sana mama
Your son Desderi J Wengaa



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...