MAMA AGNES T. ANDREA WENGAA:
20/09/2012 - 20/09/2013
Mama, tarehe 20/09/2013 umetimiza Mwaka Mmoja tangu Mwenyezi Mungu alipokutwaa
toka hapa Duniani.
Kila
siku ipitayo tunaona kama ni jana tuu. Unakumbukwa sana na mume wako,watoto
wako,wakwe zako,wajukuu,wadogo zako,ndugu,jamaa na marafiki wote.
Sote
Tunakuombea sana upumzike kwa Amani-Milele.
WARUMI
14: "Kwa maana kama tukiishi,twaishi
kwa Bwana,au kama tukifa twafa kwa Bwana. Basi,kama tukiishi au kama tukifa tu
mali ya Bwana".
BWANA
AMETOA NA BWANA AMETWAA, JINA LA BWANA LIHIMIDIWE
Tunakupenda
sana mama
Your son Desderi J
Wengaa
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...