Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt.seif S.Rashid (Mb) akihutubia katika maadhimisho ya Siku ya Moyo Duniani. Sherehe hizi zinafanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini  Mwanza muda huu. Sherehe hizi zinafanyika leo na kesho ambapo shughuli nyingine ni pamoja na uchunguzi wa Maradhi ya moyo bila malipo.
Picha na mdau Martin Elias

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...