Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt.seif S.Rashid (Mb) akihutubia katika maadhimisho ya Siku ya Moyo Duniani. Sherehe hizi zinafanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza muda huu. Sherehe hizi zinafanyika leo na kesho ambapo shughuli nyingine ni pamoja na uchunguzi wa Maradhi ya moyo bila malipo.
Picha na mdau Martin Elias
Picha na mdau Martin Elias
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...