Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na Wazanzibari wanaoishi Tanga, katika ukumbi wa Tangamano jijini Tanga.
Baadhi ya Wazanzibari wanaoishi Tanga wakimsikiliza Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad katika ukumbi wa Tangamano jijini Tanga, leo tarehe 27/09/2013. (picha na Salmin Said, OMKR)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Taarifa ilikuwa isomeke "Maalim Seif akutana na Wapemba waishio Tanga" maana ndio sahihi.
    Pia iwapo hawa jamaa wameamua kuishi Tanga sasa kuna haja gani ya wao kuwa na vitambulisho vya kupigia kura vya Wazanzibar? Hata wakiwa hapo kura watapiga tu kwa vile ni Watanzania au ni lazima wapige kura inayomhusu Maalim Seif?
    Tuachane na ubinafsi.

    ReplyDelete
  2. Suluhisho ya yote haya ni Serikali moja tu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...