Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akielekea kwenye Jukwaa la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuhutubia Kikao cha 68 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.
Mhe. Rais Kikwete akihutubia Kikao cha 68 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Mjini New York ambapo katika hotuba hiyo alielezea masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na nafasi ya Tanzania katika kuchangia walinzi wa Amani, Mageuzi katika Umoja wa Mataifa, Utekelezaji wa Malengo ya Milenia na pia alitoa salamu za rambirambi kwa Serikali ya Kenya kufuatia shambulio la kigaidi lililotokea tarehe 23 Septeba, 2013 mjini Nairobi.
Mhe. Membe akiwa na Mhe. Haroun Suleiman, Waziri wa Kazi na Utumishi wa Umma wa Zanzibar wkimsikiliza Mhe. Rais Kikwete alipolihutubia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...