Baadhi ya wachezaji wanaoshiriki fainali za mashndano ya Safari Pool Taifa ngazi ya mkoa, Mkoa wa Mbeya wakiwa kwenye maandamabo kuingia ukumbini wakati wa ufunguzi wa fainali hizo zinazofanyika Airport Pub mkoani humo.
Meneja matukio wa TBL tawi la Mbeya, Godfrey Mwangugulu(kushoto) akizungumza na wachezaji wa Pool (hawapo pichani) wakati wa ufunguzi wa fainali za mashindano ya Safari Pool Taifa ngazi ya mkoa yanayofanyika Airport Pub mkoani humo.Wengine kushoto kwake ni mratibu wa mashindano hayo, Peter Zacharia,Afisa michezo wa Mkoa wa Mbeya, George Mbijima na Mwenyekiti wa chama cha Pool Mkoa wa Mbeya, Samweli Aron.
Afisa michezo wa Mkoa wa Mbeya, George Mbijima akizungumza na wachezaji wa Pool(hawapo pichani) wakati wa ufunguzi wa fainali za mashindano ya Safari Pool Taifa ngazi ya mkoa yanayofanyika Airport Pub mkoani humo.Kulia ni Meneja matukio wa TBL tawi la Mbeya, Godfrey Mwangugulu,mratibu wa mashindano Peter Zacharia na Mwenyekiti wa chama cha Pool Mkoa wa Mbeya, Samweli Aron.
Afisa michezo wa Mkoa wa Mbeya, George Mbijima akicheza wakati wa ufunguzi wa fainali za mashindano ya Safari Pool Taifa ngazi ya mkoa yanayofanyika Airport Pub mkoani humo.Wengine wanaoshuhudia kushoto kwake ni mratibu wa mashindano , Peter Zacharia na Meneja matukio wa TBL tawi la Mbeya, Godfrey Mwangugulu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...