Taswira za jinsi  moto ulivyoacha madhara makubwa kwa wenye misitu hii wilayani Makete baada ya kuteketeza miti na mimea mingine iliyokuwa katika eneo hilo. Haijafahamika mara moja nini chanzo cha moto huo. PICHA ZOTE NA EDWIN MOSHI, WA GLOBU YA JAMII

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. That is terrible, who did that?

    ReplyDelete
  2. Kichungi cha sigara kutoka kwa "mchimba dawa"!

    ReplyDelete
  3. Jamani musichome moto misitu, hiyo dhana kwamba unapochoma moto ukasambaa mbali basi maisha yako yatazidi kuwa marefu zaidi siyo kweli.

    Wengine ni husuda kwa wenzao tu akiona fulani amefanikiwa anamchomea moto shamba lake la miti.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...