Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ,Mbunge wa Jimbo la Swola ndugu Ahmed Salum na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakicheza na nyoka aina ya chatu wakati wa mapokezi katika kata ya Didia, Luhambo wilaya ya Shinyanga Vijijini.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wanachama wa chama cha Mapinduzi waliokuja kumpokea alipowasili Wilaya ya Shinyanga Vijijini.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Ndugu Hamisi Mgeja akisalimia wakazi wa Luhambo Didia wakati wa mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katika wilaya ya Shinyanga Vijijini.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwasalimu wakazi wa kata ya Didia na kuwashukuru kwa mapokezi mazuri waliyowapa.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wanachama wa chama cha Mapinduzi waliokuja kumpokea alipowasili Wilaya ya Shinyanga Vijijini.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Ndugu Hamisi Mgeja akisalimia wakazi wa Luhambo Didia wakati wa mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katika wilaya ya Shinyanga Vijijini.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwasalimu wakazi wa kata ya Didia na kuwashukuru kwa mapokezi mazuri waliyowapa.






Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...