Ndugu Francis Joseph
Assenga ambaye ni mfanyakazi katika Benki Kuu ya Tanzania (katikati) mara baada ya kuchaguliwa kushika nyadhifa za Rais wa UNI
Africa Professional & Managers na Vice-President UNI Global Professionals
& Managers Committee kwenye Hotel ya Hilton Mjini Nairobi. Kulia kwake ni
Rais wa Kamati ya Dunia Bwana Ulf Bengtsson akifuatiwa na Mkurugenzi wa UNI
Global Professionals & Managers Bwana Pav Akhtar na Kushoto kwa Bwana
Assenga ni Makamu Rais UNI Africa Professional & Managers Mama Olasanoye Oyinkan kutoka Nigeria,
akifuatiwa na Wagombea wengine wa Urais ambao ni Ousmane Diagne kutoka Senegal na
Pierre Louis Mouangue kutoka Cameroun.
Ndugu Francis Josseph Assenga (kushoto) akipongezwa na
Mwakilishi wa Rwanda Bwana Alexis kwenye
Mkutano wa Bara la Afrika wa Kamati ya Wataalam na Mameneja na Makamu wake
Olasanoye Oyinkan wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa Mkutano
wa UNI Africa Professional & Managers kwenye Hotel ya Hilton Mjini Nairobi.
mhhhhh kaka yangu nimekuvulia kofia..yaani kumbe nilikuwa naongea na kucheka na almasi au dhahabu iliyokuwa imejichimbia mchangani inasubiri siku na saa mkulima apige jembe kuiweka hadharani...hongera sana na nakuombea kwa mungu akuongoze ili utuwakilishe vizuri...God bless you my brother
ReplyDelete