Mkazi wa jimbo la Kalenga Bw Jackson Kiswaga kushoto akiwa na wafanyakazi  wa Hospital teule ya wilaya ya  Iringa -Ipamba
Diwani  wa  viti maalum tarafa ya Kalenga Bi Shakra  Kiwanga  kushoto akitoa hotuba ya pongezi kwa Bw  kiswaga
Bw Jackson Kiswaga akipokea  taarifa ya Hospital  teule ya wilaya ya Iringa  kutoka kwa mganga mfadhiwi wa Hospital  hiyo
wafanyakazi  wa Hospital  teule ya Iringa  wakimpongeza Bw Kiswaga kwa msaada wa  viteanda

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...