Timu ya Globu ya Jamii imeweza kumtembelea Mwanamuziki Mkongwe wa Muziki wa Kiafrika,Jhiko Man mwenye makazi ya Mjini Bagamoyo mkoani Pwani na kufanya nae mahojiano mafupi juu ya Muziki wa Kitanzania na Kiafrika kiujumla.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Safi sana Jhikoman tunakusubiri kuona tamasha lako huku Scandinavia

    ReplyDelete
  2. Moja ya majanga makubwa ambayo Tanzania inaishi nayo ni dhana ya kuishi kwa njia za mkato. Ukisikia muziki wa Jhiko, unashangaa ni jinsi gani kama jamii imeshindwa kutambua kilicho bora na kung'ang'ania mataka taka.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...