Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki akizindua Kijitabu cha “Mwongozo wa Utawala Bora” uliofanyika makao makuu ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) mtaa wa Luthuli  jijini Dar es Salaam.
 Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki akionesha kijitabu cha “Mwongozo wa Utawala Bora” alichokizindua leo makao makuu ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam.
 Mwenyeki wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) Amiri Manento (Jaji Kiongozi Msaafu) akimkaribisha mgeni rasmi Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki na wageni waalikwa kwenye hafla ya uzinduzi wa Kijitabu cha “Mwongozo wa Utawala Bora” uliofanyika makao makuu ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) mtaa wa Luthuli leo jijini Dar es Salaam. (Katikati) ni Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Angellah Kairuki, Wa kwanza kushoto ni Makamu Mwenyeki wa THBUB Mahfoudha Alley Hamid.
 Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) Mary Massay akiwasisitiza washiriki wa hafla ya uzinduzi wa Kijitabu cha “Mwongozo wa Utawala Bora” uliofanyika katika ofisi za THBUB zilizopo mtaa wa Luthuli leo jijini Dar es Salaam. Wakwanza ni ni Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki (katikati) ni Mwenyeki wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) Amiri Manento (Jaji Kiongozi Msaafu).
 Naibu Waziri Wizara ya  Katiba na Sheria Mhe. Angellah Kairuki  akiongea na washiriki waliohudhuria uzinduzi wa kijitabu cha “Mwongozo wa Utawala Bora” leo katika ofisi za  Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) zilizopo mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyeki wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) Amiri Manento (Jaji Kiongozi Msaafu).
Picha ya pamoja ya Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Angellah Kairuki baada ya kuzindua Kijitabu cha “Mwongozo wa Utawala Bora” uliofanyika makao makuu ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) mtaa wa Luthuli  jijini Dar es Salaam.
Picha zote na Eleuteri Mangi- MAELEZO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...