Wanalibeneke,Jeff Msangi (shoto) na Othman Michuzi (kulia) wakiwa kwenye picha ya pamoja na Kaimu Mkuu wa Chuo cha Sanaa na Utamaduni Bagamoyo,Michael Kadinde (alieketi) wakati Timu ya Michuzi TV ilipomtembelea ofisini kwake ili kufanya nae mahojiano juu ya Mwenendo mzima wa Tamasha la Kimataifa la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo,ambalo kimuonekano linaonekana kupoteza mvuto.Je ni kweli Tamasha hilo limepoteza mvuto kulinganisha na miaka iliyopita??fatilia mahojiano hayo hapo chini ikiwa ni sehemu ya kwanza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Video ina matatizo ya sauti

    ReplyDelete
  2. Wee anonymous uliesema video inamatatizo ya sauti,kwani husikii kinachozungumzwa??au ndio kujifanya wewe ni profeshno zaidi ya Ankal??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...