SERENGETI FREIGHT
GARI LIMEIBIWA
MAKE: NISSAN NAVARA
MODEL: AVENTURA
REG : AD07 MWK
TUNAWATANGAZIA NDUGU ZETU WATANZANIA WENZETU KUWA TUMEIBIWA HILI GARI KUTOKA KWENYE OFISI YETU HAPA LONDON
TUNADHANI KUWA WEZI WA GARI HILI WATAKUWA WAMELISAFIRISHA KWENDA DAR AU ZANZIBAR
TUNAOMBA MTU YEYOTE ATAKAE LIONA KAMA NI BANDARINI AU HATA BARABARANI ATOE TAARIFA KITUO CHA POLISI CHA JIRANI AU ATUPIGIE MOJA KWA MOJA KWENYE NAMBA ZETU ZIFUATAZO
CHRIS LUKOSI +44 (0) 7903828119
MOHSIN +44 (0) 7950689243
TORNADO - DAR - 0713607116
ZAWADI YA SHS MILIONI KUMI (SHS 10,000,000) ITATOLEWA KWA ATAKAEFANIKISHA UPATIKANAJI WA HILI GARI
ASANTENI SANA
CHRIS LUKOSI


Sasa tutathibitisha vipi kama ni hili? Any details kama Engine number n.k ?Kuweni makini katika kuweka matangazo yenu. Labda mmekosa umakini kama huo ndio maana mkaibiwa..
ReplyDeleteMimi
Kama ungeanika mwaka iliotengenezwa ungetusaidia ili vijana tuanze kuingia barabarani
ReplyDeleteYou may wish to also indicate chassis and engine number to assist retrieval
ReplyDeleteWizi mpaka majuu, haya maisha magumu ni kila sehemu! Toa details kama wadau wa hapo juu walivyokushauri.
ReplyDeleteKwa maelezo uliyotoa, gari kama hilo yapo mengi sana nchi nzima. Weka details zaidi ili uweze kusaidiwa. Au hamjui hata details za gari mliloibiwa?
ReplyDeleteUk kwa wizi....msizani wezi wako Tz tu...nasikia hata vioo wanavunja kuiba vitu vidogo vidogo kama laptop...M=
ReplyDeleteKwa nini mnahisi gari hilo limekuja TZ? Je! mnanyaraka zozote zinazothibitisha limekuja TZ? Mbona magari hayo kwa TZ yaliingina siku nyingi na ni mengi kwa sasa. Kutaja engine na chassis namba haisaidii. Cha msingi, mjipange katika utendaje wenu pia utaratibu wa shipping. TZ kwa sasa wameamka mambo si kama mazoea.
ReplyDelete