Mchezaji wa Timu ya Netiboli ya Utumishi Fatma Ahmed (GS) akidaka mpira hewani wakati wa mechi kati ya Utumishi na Wizara ya Ujenzi mjini Dodoma.
Mchezaji wa timu ya Netiboli ya Utumishi Anna Msulwa (GA)(kulia) akifunga bao wakati wa mechi kati ya Utumishi na Wizara ya Ujenzi mjini Dodoma.
Mchezaji wa timu ya Netiboli ya Wizara ya Ujenzi Anjela Mvungi (GK) akidaka mpira wakati wa mechi kati ya Utumishi na Wizara ya Ujenzi mjini Dodoma.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...