Mwenyekiti wa TANZANITE FOUNDER FOUNDATION, Bi. Asha Ngoma
akionyesha cheti cha Uvumbuzi kilichotolewa na serikali mwaka 1984, mbele ya
waandishi wa habari, katikati ni Mzee Jumanne Mhero Ngoma, Mvumbuzi wa madini
ya Tanzanite, Kulia ni Bw. Baraka Msuya, Mjumbe wa taasisi. Bi. Ngoma amesema azma ya taasisi hiyo ni kuwawezesha vijana kupata utaalam (elimu), Kuwawezesha kupata nyenzo za uchimbaji madini NA Kuenzi na Kuhifadhi historia ya uvumbuzi wa madini ya TANZANITE kwa faida ya vizazi vya sasa na vijavyo.
Mwenyekiti wa TANZANITE FOUNDER FOUNDATION, Bi. Asha Ngoma
akikifanunua jambo kuhusu shughuli za taasisi akiwa pamoja Mzee Jumanne Mhero
Ngoma, Mvumbuzi wa madini ya Tanzanite na Bw. Baraka Msuya, Mjumbe wa taasisi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...