Makamu wa Rais wa Shirikisho la mpira wa kikapu nchini-TBF Ndg. Phares Magesa akiwa na baadhi ya wachezaji nyota vijana wa timu ya Taifa ya Kikapu ya Tanzania ambao wanatarajiwa kwenda Marekani mwezi wa kumi kwa ajili ya kambi ya Mafunzo katika Chuo Kikuu Cha Post-Connecticut, mafunzo hayo yataendeshwa na Kocha Albert Sokaitis akisaidiwa na Kocha Sconniers. Tuwasaidie VIJANA wetu kwa hali na mali ili washiriki vizuri Mafunzo hayo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. mafunzo yanaitwaje? na muda gani wa hayo mafunzo?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...