Mdau RICHARD MTAITA NA VICTORIA YONGOLO wakiwa amepozi na mwandani wake mara baada ya kumeremetA katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri usharika wa Makorola na kufuatiwa na mnuso wa nguvu kwenye hoteli ya Regal Naivera Jijini Tanga. Bwana harusi ni Mfanyakazi wa Mamlaka ya majisafi na Majitaka Tanga-Uwasa wakati bibi harusi ni mhitimu wa Chuo cha Mipango Dodoma. Picha na Mashaka Mhando

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...