Meneja Masoko wa Kampuni ya Intermech Engineering Ltd, David Chisawilo ( kulia) akimwonesha Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe Joel Benderai ( kaikati) , mashine ya kupukucha mahindi inayotumia mkono inayotengezwa na Kampuni hiyo
 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe Joel Bendera ( kushoto) akipata maelezo kutoka wa viongozi wa Kiwanda cha Magunia TPM ( kulia) kuhusu tatizo la soko
 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera ( wapili kutoka kulia) akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa TTPL, Paul Grossan ( wa kwanza kushoto) kuanagalia uchambuaji wa tumbaku
 Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe Joel Bendera ( watatu kutoka kulia) akiangalia utengenezaji wa magunia ya mkonge katika kiwanda cha Magunia Morogoro
Dada akiwa kazini katika kiwanda cha magunia
Usokotaji wa kamba za mkonge. Picha na maelezo na John Nditi wa Globu ya Jamii, Morogoro

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hapo kwenye magunia Mkuu wa Mkoa kavaa mask lakini wafanyakazi wanaopata vumbi la magunia kila siku wako kapa.

    Che

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...