Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. John Samuel Malecela akisisitiza jambo wakati alipokuwa akibadilishana mawazo na Baadhi ya maafisa wa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, ( hawapo pichani) na wajumbe wanaohudhuria mikutano ya Kamati Kuu Sita za Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Mhe. Malecela ambaye yuko Jijiji New York kwa ziara binafsi, alisisitiza sana umuhimu wa watanzania wote bila ya kujali itikadi na tofauti za kisiasa, kuhakikisha wanaulinda mtaji wao mkubwa ambao ni amani.
Muwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi na Mkewe Upendo wakifuatilia mazungumzo hayo ambayo yalifanyika katika makazi ya Balozi , mazungumzo yaliyoambatana na chakula cha jioni.
Mke wa Mhe. Malecelea, Mhe. Ann Kilango akifurahia jambo pembeni ni Naibu Muwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Ramadhan Mwinyi.
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI KAMILI
AMANI GANI MNAWAIBIA WANANCHI KILA KUKICHA????MNASHINDWA KUTATUA MAMBO YAMUUNGANO????
ReplyDelete