Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Asangye Bangu akiongea na waandishi wa habari Wakati wa kutangaza kuanza kutumika kwa Huduma ya M-pesa kukusanyia marejesho ya mikopo kwa wanufaika wa bodi hiyo. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim na Mkurugenzi wa Urejeshaji Mikopo wa Bodi Juma Chagonja.
Meneja Uhusiano wa Nie wa Vodacom Salum Mwalim akiongea Wakati wa uzinduzi wa huduma ya urejeshaji mikopo kwa Bodi ya Elimu ya Juu nchini kwa kutumia M-pesa. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi hiyo Asangye Bangu na Mkurugenzi wa Urejeshaji wa Mikopo Juma Chagonja.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...