Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Nasibu Abdul "Diamond Platinumz"akimkabidhi Ipad yenye thamani ya shilingi Milioni Tsh 1.2 mshindi wa dansi ya Ngololo Bw.Faudhu Kiobya kupitia ukurasa wa kijamii wa instragram wa Vodacom Tanzania,mara baada ya kumalizika droo ya tatu ya shindano la miito ya simu.Washindi 35 kila mmoja amejishindia Sh 50,000.Anaeshuhudia katikati ni Meneja wa huduma za ziada wa Vodacom Bw.Mathew Kampambe.
Mshindi wa dansi ya Ngololo Bw.Faudhu Kiobya,aliejishindia Ipad kwa kutuma video katika ukurasa wa kijamii wa instragram wa Vodacom Tanzania,akionesha Ipad yake kwa waandishi wa habari(hawapo pichani)aliejishindia na kukabidhiwa rasmi na Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Nasibu Abdul "Diamond Platinum"(kulia)wakati wa droo ya tatu ya shindano la miito ya simu,ambapo washindi 35 kila mmoja wamejishindia Sh 50,000.katikati ni Meneja wa huduma za ziada wa Vodacom Bw.Mathew Kampambe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...