Meneja
wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe akiongea na
wafanyakazi wa TBL Mwanza katika hafla ndogo ya kutambulisha kampeni ya
Nani Mtani Jembe kwa wafanyakazi hao kabla ya uzinduzi mkubwa
utakaofanyika jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. Kampeni hiyo
itawashindanisha mashabiki wa Simba na Yanga nchi nzima kwa muda wa
miezi miwili kupitia matukio mbalimbali.
Makamu
mwenyekiti wa Simba, Joseph Itangare maarufu kama Mzee Kinesi akiongea
na wafanyakazi wa TBL Mwanza katika hafla ndogo ya kutambulisha kampeni
ya Nani Mtani Jembe kwa wafanyakazi hao kabla ya uzinduzi mkubwa
utakaofanyika jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki. Kampeni hiyo
itawashindanisha mashabiki wa Simba na Yanga nchi nzima kwa muda wa
miezi miwili kupitia matukio mbalimbali.
Mjumbe
wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, Mohammed Bhinda akiongea na wafanyakazi
wa TBL Mwanza katika hafla ndogo ya kutambulisha kampeni ya Nani Mtani
Jembe kwa wafanyakazi hao kabla ya uzinduzi mkubwa utakaofanyika jijini
Dar es salaam mwishoni mwa wiki. Kampeni hiyo itawashindanisha mashabiki
wa Simba na Yanga nchi nzima kwa muda wa miezi miwili kupitia matukio
mbalimbali.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...