CPL Jumaa mwalimu wa kituo cha polisi Oyesterbay akikagua tairi la gari la mmoja wa wafanyakazi wa Airtel James Majwala wakati polisi kikosi cha usalama barabarani kilipoendesha zoezi la ukaguzi wa magari kwa wafanyakazi Airtel katika makao makuu ya Airtel morroco.
CPL Jumaa mwalimu wa kituo cha polisi Oyesterbay akikagua uhalali stika ya leseni ya barabarani katika moja ya gari la wafanyakazi wa Airtel bwana Francis Ndikumwami wakati polisi kikosi cha usalama barabarani kilipoendesha zoezi la ukaguzi wa magari kwa wafanyakazi Airtel katika makao makuu ya Airtel morroco.
CPL Jumaa mwalimu wa kituo cha polisi Oyesterbay akikagua gari la mmoja wa wafanyakazi wa Airtel Bi Susan Kajubili wakati polisi kikosi cha usalama barabarani kilipoendesha zoezi la ukaguzi wa magari kwa wafanyakazi Airtel katika kutimiza lengo la wiki ya Nenda kwa usalama barabarani,. zoezi hilo liliyofanyika katika makao makuu ya Airtel morroco.
Mfanyakazi wa Airtel bwana Jacob Malisa akibandika stika ya usalama barabarani mara baada ya gari lake kukaguliwa na kuthibitisha kufaa kutembea barabarani. Zoezi la ukaguzi wa magari lilifanyika jana katika ofisi za makao makuu ya Airtel na kuwashirikisha wafanyakazi wa Airtel.
Inspector Serengeti Action wa kituo cha polisi Oyesterbay akiingia katika moja ya gari la mfanyakazi wa Airtel bi Aminata Nakieta tayari kwa ukaguzi.
Majina ya wafanyakazi yanaonekana kama sio ya kitanganyika.
ReplyDeleteMfano:NaKi-eTa, KaJu_biLi,
NdiKu-mWani(Burundi)
Makampuni ya simu kuna siri gani ya wafanyakazi wenu?
Itabidi waonyeshe shule za msingi walizosoma au marafiki wao wa utotoni ,maana ukiuliza passport wanazo za Tanzania.
Watanzania ni wabaguzi sana, tupo karne ya 21 wewe bado unazungumzia Utanganyika ! those are just names for god sake has nothing to do with some one nationality, open your ears and eyes the world is now intergrated, just look at America the president is some one with Jaluo name (Obama) and there are lot of Americans with exotic surnames like Adewale, Mushi, Chiume etc. and no one questions about their nationality
ReplyDeleteHata wangekuwa wa Nchi za Nje. jiulize kwa nini siyo vijana wa Kitanzania? Jibu unalo sana wala usikwepe ukweli!
ReplyDeleteNyerere aliposema juu wa uunguja na upemba actually alienda mbele zaidi na akasema yako makabila 120 hapa tanzania na watu wataanza kuulizana ukabila haya tunayaona yaanza sasa bado huu utanganyika wote utatoweka utaanza uchaga, uhaya na wenzangu mie wazaramo wao walishaaambiwa ni warundi. Haya hao wahindi ndio usiseme wanaitwa magabacholi na future president Mtikila bado utango na utambae.
ReplyDeleteJamani mbona sheria hazifutwi,ukaguzi lazima ufanyike kwenye vituo vya traffic kwa sababu ya vifaa vya ukaguzi,kweli bongo tambarare!!!!!.
ReplyDelete