CPL Jumaa mwalimu wa kituo cha polisi Oyesterbay akikagua tairi la gari la mmoja wa wafanyakazi wa Airtel James Majwala wakati polisi kikosi cha usalama barabarani kilipoendesha zoezi la ukaguzi wa magari kwa wafanyakazi Airtel katika makao makuu ya Airtel morroco.
CPL Jumaa mwalimu wa kituo cha polisi Oyesterbay akikagua uhalali stika ya leseni ya barabarani katika moja ya gari la wafanyakazi wa Airtel bwana Francis Ndikumwami wakati polisi kikosi cha usalama barabarani kilipoendesha zoezi la ukaguzi wa magari kwa wafanyakazi Airtel katika makao makuu ya Airtel morroco.
CPL Jumaa mwalimu wa kituo cha polisi Oyesterbay akikagua gari la mmoja wa wafanyakazi wa Airtel Bi Susan Kajubili wakati polisi kikosi cha usalama barabarani kilipoendesha zoezi la ukaguzi wa magari kwa wafanyakazi Airtel katika kutimiza lengo la wiki ya Nenda kwa usalama barabarani,. zoezi hilo liliyofanyika katika makao makuu ya Airtel morroco.
Mfanyakazi wa Airtel bwana Jacob Malisa akibandika stika ya usalama barabarani mara baada ya gari lake kukaguliwa na kuthibitisha kufaa kutembea barabarani. Zoezi la ukaguzi wa magari lilifanyika jana katika ofisi za makao makuu ya Airtel na kuwashirikisha wafanyakazi wa Airtel.
Inspector Serengeti Action wa kituo cha polisi Oyesterbay akiingia katika moja ya gari la mfanyakazi wa Airtel bi Aminata Nakieta tayari kwa ukaguzi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Majina ya wafanyakazi yanaonekana kama sio ya kitanganyika.
    Mfano:NaKi-eTa, KaJu_biLi,
    NdiKu-mWani(Burundi)
    Makampuni ya simu kuna siri gani ya wafanyakazi wenu?

    Itabidi waonyeshe shule za msingi walizosoma au marafiki wao wa utotoni ,maana ukiuliza passport wanazo za Tanzania.


    ReplyDelete
  2. Watanzania ni wabaguzi sana, tupo karne ya 21 wewe bado unazungumzia Utanganyika ! those are just names for god sake has nothing to do with some one nationality, open your ears and eyes the world is now intergrated, just look at America the president is some one with Jaluo name (Obama) and there are lot of Americans with exotic surnames like Adewale, Mushi, Chiume etc. and no one questions about their nationality

    ReplyDelete
  3. Hata wangekuwa wa Nchi za Nje. jiulize kwa nini siyo vijana wa Kitanzania? Jibu unalo sana wala usikwepe ukweli!

    ReplyDelete
  4. Nyerere aliposema juu wa uunguja na upemba actually alienda mbele zaidi na akasema yako makabila 120 hapa tanzania na watu wataanza kuulizana ukabila haya tunayaona yaanza sasa bado huu utanganyika wote utatoweka utaanza uchaga, uhaya na wenzangu mie wazaramo wao walishaaambiwa ni warundi. Haya hao wahindi ndio usiseme wanaitwa magabacholi na future president Mtikila bado utango na utambae.

    ReplyDelete
  5. Jamani mbona sheria hazifutwi,ukaguzi lazima ufanyike kwenye vituo vya traffic kwa sababu ya vifaa vya ukaguzi,kweli bongo tambarare!!!!!.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...