JAMII tuliyonayo sasa ni matokeo ya wazazi na walezi waliotangulia.
Na...
Jamii tutakayokuwa nayo, itatokana na wazazi na walezi wa sasa (ambao ni kila mtu)
Ukweli ni kuwa..
DUNIA INABADILIKA. Na waliomo pia
Je!
Kuna tofauti gani (chanya na hasi) katika MALEZI ya zamani na sasa? Na vipi kuhusu malezi ya Afrika Mashariki na Tanzania?
Na ni nini kinaweza kufanyika kuboresha kizazi kijacho kwa kulea vema zaidi watoto wa sasa?
Unadhani malezi yetu ya sasa yanaendana na namna tunavyotaka wanetu wakue?
UNGANA NASI KATIKA KIPINDI HIKI CHA FAMILIA kujua zaidi
Mtayarishaji na Mtangazaji wa kipindi cha FAMILIA Dada Ndeletwa C. Lema akifurahia jambo wakati wa kipindi katika Studio za Jamii Production, Washington DC.
Mmoja wa wachangiaji wa kipindi cha FAMILIA Mama Martha akisikiliza kwa makini mchango katika mada iliyohusu   jitihada za malezi ya watoto ndani ya familia zetu, kilichotayarisha na  Dada Ndeletwa C. Lema ndani ya Studio ya Jamii Production.
Msimamizi na mboreshaji  wa vipindi vya Jamii Production Abou Shatry  akichangia na kusikiliza mada inayohusu malezi ya watoto ndani ya familia zetu, kilichotayarisha na  Dada Ndeletwa C. Lema ndani ya Studio ya Jamii Production.
 Mmoja wa wachangiaji wa kipindi cha Familia Dada Oliver Lyimo, akichangia na kusikiliza mada inayohusu malezi ya watoto ndani ya familia zetu, kilichotayarisha na  Dada Ndeletwa C. Lema ndani ya Studio ya Jamii Production.
Muongozaji wa kipindi cha Familia Dada Ndeletwa C. Lema akifafanua jambo
Muongozaji na pia mchangiaji wa kipindi cha Familia  Mubelwa Bandio akisisitiza Jambo kabla ya kuanza kurekodi kipindi ndani ya Studio ya Jamii Production.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...