Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw.
George D. Yambesi akifungua mafunzo kwa Makatibu Tawala na Wakurugenzi wa
Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhusu Mfumo Shirikishi wa Taarifa za
Kiutumishi na Mishahara .
Mmoja kati ya washiriki, Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimajanro Dtk
Faisal Issa akiongea kuhusu mafunzo hayo, na kutoa shukrani.
Sehemu ya washiriki wa mafunzo wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya
Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George D. Yambesi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...