Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea ua kutoka kwa Binti Witness Mwalongo anayesoma Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari ya Mpechi iliyopo Mjini Njombe mara tu baada ya kuwasili Rest House mjini hapo tarehe 17.10.2013. Mama Salma yupo Mkoani Njombe akifuatana na Rais Kikwete aliye katika ziara ya kuutembelea mkoa wa Njombe kuanzia tarehe 17.10 hadi 23.10.2013.
PICHA NA JOHN LUKUWI
Home
Unlabelled
MAMA SALMA KIKWETE APOKEA UA KWA UKARIBISHO MKOANI NJOMBE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...