Mdau Sixmund J. Begashe akifurahi baada ya kulamba nondozz yake ya BA ya Mawasiliano ya Umma katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.
Sixmund Begashe watatu kulia akiwa kwenye picha ya pamoja na wahitimi wenzake wa taaluma ya Mawasiliano ya Umma wakisubiri kudhibitishwa.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...