Mdau Sixmund J. Begashe akifurahi baada ya kulamba nondozz yake ya BA ya Mawasiliano ya Umma katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.
Sixmund Begashe watatu kulia akiwa kwenye picha ya pamoja na wahitimi wenzake wa taaluma ya Mawasiliano ya Umma wakisubiri kudhibitishwa.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...