Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Mhe Jerry Silaa (wa pili kushoto) akizungumza na waandishi wa habari leo asubuhi kuhusu kampeni ya ‘Dawati ni Elimu’ kupitia wasanii mbalimbali wa kuchora nchini. Kulia kwake ni Msanii Robin Mtila na Kushoto ni Meneja Mkuu wa Hyatt Regency Kilimanjaro, Trevor Saldanha na Mustafa Hassanali Mratibu wa Kampeni hiyo.
Meneja Mkuu wa Hyatt Regency Kilimanjaro, Trevor Saldanha akizungumzia mchango wa hoteli yake katika kampeni ya Dawati ni Elimu yenye kauli mbiu ya "Kalisha mmoja boresha Elimu".
Mchoraji Robin Mtila akizungumza kwa niaba ya wasanii wenzake ambapo ameelezea umuhimu wa sekta ya Elimu katika fani ya sanaa nchini.
Lakini mbona kama anajipigia debe binafsi kwa kuweka picha yake? Kuna zaidi ya madawati.
ReplyDeletethat is called personal branding...this guy is making serious calculated moves on his political career...safi sana mayor,..unatumotivate sana mayouth.
ReplyDeleteKing Jojo..Nai