DSC_0429
Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Mhe Jerry Silaa (wa pili kushoto) akizungumza na waandishi wa habari leo asubuhi kuhusu kampeni ya ‘Dawati ni Elimu’ kupitia wasanii mbalimbali wa kuchora nchini. Kulia kwake ni Msanii Robin Mtila na Kushoto ni Meneja Mkuu wa Hyatt Regency Kilimanjaro, Trevor Saldanha na Mustafa Hassanali Mratibu wa Kampeni hiyo.
DSC_0446
Meneja Mkuu wa Hyatt Regency Kilimanjaro, Trevor Saldanha akizungumzia mchango wa hoteli yake katika kampeni ya Dawati ni Elimu yenye kauli mbiu ya "Kalisha mmoja boresha Elimu".
DSC_0457
Mchoraji Robin Mtila akizungumza kwa niaba ya wasanii wenzake ambapo ameelezea umuhimu wa sekta ya Elimu katika fani ya sanaa nchini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Lakini mbona kama anajipigia debe binafsi kwa kuweka picha yake? Kuna zaidi ya madawati.

    ReplyDelete
  2. that is called personal branding...this guy is making serious calculated moves on his political career...safi sana mayor,..unatumotivate sana mayouth.
    King Jojo..Nai

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...