Habari wadau Wangu wote,
Naomba kuwathibitishia kuwa mimi Kala Jeremiah Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya,page
yangu ya Facebook imeibiwa na matapeli wa kwenye mitandao na wameshaanza
kuitumia na wameanza kwa kutoa tangazo la mikopo.
kwa hiyo nawataarifu kwamba anaefanya hivyo,siyo mimi ni
matapeli. Inauma sana kuona nimehangaikia page hii mpaka hapo ilipofikia
ina like zaidi ya 52, 000 watu zaidi ya elfu hamsini na mbili.
Nimeamua
kuanzisha page mpya ndo naishughulikia sasa inaitwa KALA 0444 (BOFYA HAPA KUIONA) poleni
sana kwa usumbufu.
Nni mimi rafiki yenu Kala Jeremiah
AwatahadhaRIsha.
ReplyDeleteKifimbo cheza.