Habari wadau Wangu wote,
Naomba kuwathibitishia kuwa mimi Kala Jeremiah Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya,page yangu ya Facebook imeibiwa na matapeli wa kwenye mitandao na wameshaanza kuitumia na wameanza kwa kutoa tangazo la mikopo.

kwa hiyo nawataarifu kwamba anaefanya hivyo,siyo mimi ni matapeli. Inauma sana kuona nimehangaikia page hii mpaka hapo ilipofikia ina like zaidi ya 52, 000 watu zaidi ya elfu hamsini na mbili.

Nimeamua kuanzisha page mpya ndo naishughulikia sasa inaitwa KALA 0444 (BOFYA HAPA KUIONA) poleni sana kwa usumbufu.

Nni mimi rafiki yenu Kala Jeremiah

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...