Wasamalia wema wakitoa msaada kwa mwendesha baiskeli iliyokuwa imesheheni lundo la Madafu,baada ya kugongwa na Gari aina ya Harrier katika eneo la Mtoni Mtongani jijini Dar es Salaam leo.Mwendesha baiskeli huyo aligobwa na gari hilo baada ya kuzidimaarika na baiskeli yake hiyo wakati akikwepa shimo.hakuna alieumia katika ajali hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...