Msaidizi wa Mkuu wa Idara ya Fedha wa Benki ya NBC,  jolanda songoro (kulia) akishikana mikono na Mkuu wa Makao ya Taifa ya Watoto Kurasini, Ramadhan Yahya wakati akimkabidhi msaada wa magodoro, vyandarua, vyakula na sabuni vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya shs milioni 2.5 viliyotolewa na benki hiyo kituoni hapo, jijini Dar es Salaam.
 Msaidizi wa Mkuu wa Idara ya Fedha wa Benki ya NBC,  jolanda songoro (kushoto) akishikana mikono na baadhi ya watoto wanaolelewa katika Makao ya Taifa ya Watoto Kurasini, wakati akikabidhi msaada wa magodoro, vyandarua, vyakula na sabuni vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya shs milioni 2.5 viliyotolewa na benki hiyo kituoni hapo, jijini Dar es Salaam. Wa tatu kulia ni Meneja Mahusiano wa Benki hiyo, Eddie Mhina,
 Msaidizi wa Mkuu wa Idara ya Fedha wa Benki ya NBC,  jolanda songoro (kushoto) na Meneja Mahusiano wa Benki hiyo, Eddie Mhina wakibeba baadhi ya watoto wanaolelewa katika Makao ya Taifa ya Watoto Kurasini, wakati benki hiyo ikikabidhi msaada wa magodoro, vyandarua, vyakula na sabuni vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya shs milioni 2.5 kituoni hapo, jijini Dar es Salaam. Kushoto ni motto, Sebastian na kulia ni Alex.
 Mfanyakazi katika Idara ya Fedha ya NBC, Gabriela Sukums (kushoto) na Meneja Mahusiano wa benki hiyo, Eddie Mhina (kulia) wakigawa juisi kwa baadhi ya watoto wanaolelewa katika Makao ya Taifa ya Watoto Kurasini, wakati benki hiyo ikikabidhi msaada wa magodoro, vyandarua, vyakula na sabuni vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya shs milioni 2.5 kituoni hapo, jijini Dar es Salaam.

 Mfanyakazi katika Idara ya Fedha ya NBC, Gabriela Sukums akiweka chandarua katika moja ya kitanda katika bweni la watoto la Makao ya Taifa ya Watoto Kurasini wakati benki hiyo ikikabidhi msaada wa magodoro, vyandarua, vyakula na sabuni vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya shs milioni 2.5 kituoni hapo, jijini Dar es Salaam.
Msaidizi wa Mkuu wa Idara ya Fedha wa Benki ya NBC,  jolanda songoro (kushoto) akicheza mchezo wa kuruka kamba na baadhi ya watoto wanaolelewa katika Makao ya Taifa ya Watoto Kurasini, mara baada aya kukabidhi msaada wa magodoro, vyandarua, vyakula na sabuni vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya shs milioni 2.5 viliyotolewa na benki hiyo kituoni hapo, jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...