Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),Nehemiah Kyando Mchechu akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam leo,wakati wa kuzindua kampeni ya uuzaji wa Nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa za bei nafuu kwa nchi nzima,kwa kuanzia na mikoa 11. Wengine pichani ni Mkurugenzi wa Kuendeleza Biashara,David Shambwe (kulia) na kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii,Susan Omari.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...