*Saa mbili hadi tatu kuwasili (0800-0900 hrs) kwa Maafisa na Watumishi wa Umma na waombolezaji uwanja wa mpira Lugalo 521 KJ
*Saa nne na dakika tano asubuhi (1005 hrs) kuwasili Mwili wa Lt. Rajab Mlima
*Saa nne na dakika kumi hadi saa tano na dakika ishirini (1010-1120 hrs) Mgeni Rasmi kuwaongoza waombolezaji kutoa heshima zao za mwisho.
Saa tano na dakika thelathini na tano (1135 hrs) mwili wa kuondolewa Lugalo kupelekwa nyumbani Mbezi Beach.
*Saa tano na dakika arobaini na tano (1145 hrs) mwili kuwasili nyumbani Mbezi Beach.
*Saa sita mchana hadi saa nane na nusu  (1200-1430) sala ya kumuombea marehemu na chakula cha mchana.
*Saa tisa kasorobo mwili utaondoka kuelekea msikiti wa Maamur Upanga Dar Es Salaam.
*Saa kumi kamili hadi saa kumi na robo (1600-1615) sala ya Alasiri na sala ya kumuombea Marehemu.
*Saa kumi na nusu 1630 hrs mwili kuwasili Makaburi ya Kisutu na taratibu za mazishi. Na kuondoka baada ya mazishi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Inna Lillah Waina Illah Rajiuun. Poleni sana wafiwa na Allah Kareem in shaa Allah awape subra katika kipindi hiki kigumu. Aamyn.

    ReplyDelete
  2. R.I.P Lt. Rajab "Tambwe" Mlima.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...