Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo
ya Ufundi Profesa Sifuni Mchome akifafanua kwa waandishi wa habari (hawapo
pichani) juu ya upangaji wa viwango vya alama, matumizi ya alama endelevu ya mwanafunzi
na ufaulu leo jijini Dar es Salaam, kulia ni Kamishna wa Elimu Profesa
Eustella Bhalasesa.
Baadhi ya Maafisa wa Wizara ya Elimu na
Mafunzo ya Ufundi wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Profesa Sifuni
Mchome (hayupo pichani).
Waandishi wa habari na maafisa wa Wizara ya
Elimu na Mafunzo ya Ufundi wakimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu wa Wizara ya
Elimu na Mafunzo ya Ufundi Profesa Sifuni Mchome(hayupo pichani). Picha zote na Eliphace Marwa (MAELEZO).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...