Mkurugenzi wa TEKNOHAMA (ICT) wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Ndg. Phares Magesa (kulia) akiongoza ujumbe wa TPA kwenye teleconference na Trade Mark East Africa(TMEA) katikati ni Ndg. Mark wa TMEA na Ndg. Alfred wa TPA .... Tanzania iko katika hatua muhimu ya utekelezaji wa mradi wa "electronic Single Window System" mradi huu utasaidia kuharakisha na kurahisisha mfumo wa mzima wa ufanyaji biashara ya uagizaji(import) na usafirishaji(export) wa bidhaa nje ya nchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...