Mkurugenzi wa TEKNOHAMA (ICT) wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Ndg. Phares Magesa (kulia) akiongoza ujumbe wa TPA kwenye teleconference na Trade Mark East Africa(TMEA) katikati ni Ndg. Mark wa TMEA na Ndg. Alfred wa TPA .... Tanzania iko katika hatua muhimu ya utekelezaji wa mradi wa "electronic Single Window System" mradi huu utasaidia kuharakisha na kurahisisha mfumo wa mzima wa ufanyaji biashara ya uagizaji(import) na usafirishaji(export) wa bidhaa nje ya nchi.
Home
Unlabelled
Tanzania katika hatua za muhimu za kuanza utekekelzaji wa mradi wa "Single Window System"
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...