Waumini wa Jumuiya ya Kiislamu (Tanzanian Muslim Community Washington DC ) wakipata picha ya pamoja baada ya kumaliza sala ya Eid Al-Adhw-haa iliosaliwa Siku ya Jumanne Oct 15, 2013 msikiti wa Islamic Center New Hampshire Maryland US.
 Picha zote na swahilivilla.blogspot.com) Waumini wa Tanzanian Muslim Community Washington DC  wakipata picha baada ya sala   ya Eid Al-Adhw-haa iliosaliwa Siku ya Jumanne Oct 15, 2013 msikiti wa Islamic Center New Hampshire Maryland US.
Cheif wa swahilivilla Abou Shatry  (wakwanza kushoto) akipata picha ya pamoja na  Abuu Qullatein (wakwanza kuli)  baada ya kumaliza sala ya Eid Al-Adhw-haa iliosaliwa Siku ya Jumanne Oct 15, 2013 msikiti wa Islamic Center New Hampshire Maryland. Ofisa wa ubalizo wa Tanzania Nchini Marekani Bwna Suleiman Saleh alisalimiana na Deddy Rouba pamoja na Rais wa Jumuiya ya waTanzania washington DC Iddi Sandaly  baada ya kumaliza sala ya Eid Al-Adhw-haa iliosaliwa Siku ya Jumanne Oct 15, 2013 msikiti wa Islamic Center New Hampshire Maryland US. Ofisa wa ubalizo wa Tanzania nchini Marekani Bwna Suleiman Saleh (watatu kushoto) pamoja na Rais waJumuiya ya waTanzania Washington DC Iddi Sandaly, Deddy Rouba (wakwanza kushoto) Sheikh Moddy (wapili kulia) pamoja na Abuu Qullatein (wakwanza kuli) wakipata picha ya pamoja baada ya sala ya  Eid Al-Adhw-haa Ofisa wa ubalizo wa Tanzania nchini Marekani Bw. Suleiman Saleh, wapili kushoto, Cheif wa swahilivilla Abou Shatry  (wa kwanza kushoto) akiwa na  Shamis Alkhatry (wa pili kulia) , pamoja na  Abuu Qullatein (wa kwanza kulia) Auntie Asha Akida akiwa na mdhamini wa pindo lake pamoja na Rais waJumuiya ya waTanzania Washington DC Iddi Sandaly.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...