Afisa Mtendaji  Mkuu wa Kampuni ya Mawasiliano Tanzania (TTCL), Dkt. Kamugisha Kazaura akizungumza katika warsha ya saba ya mwaka ya Taasisi ya Mawasiliano ya Kusini Mwaafrika (SATA), ambapo wajumbe 60 walishiriki kujadilia mbinu zinazoweza kusaidia kuzuia wizi na udanganyifu unaofanywa mitandaoni jijini Dar es Salaam hivi karibuni
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Patrick Makungu (kushoto) akimsikiliza kwa makini  Afisa Mtendaji  Mkuu wa Kampuni ya Mawasiliano Tanzania (TTCL), Dkt. Kamugisha Kazaura mara baada ya kufungua warsha ya mwaka ya Taasisi ya Mawasiliano Kusini mwa Afrika (SATA) jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Patrick Makungu (kulia) akizungumza na Afisa Mtendaji  Mkuu wa Kampuni ya Mawasiliano Tanzania (TTCL), Dkt. Kamugisha Kazaura (katikati) mara baada ya kufungua warsha ya mwaka ya Taasisi ya Mawasiliano Kusini mwa Afrika (SATA). kushoto ni Ofisa Mkuu wa Ufundi TTCL, Bw. Jotham Lujara. Mkutano huo ulifanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.

KUSOMA ZAIDI INGIA HAPA


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...